Waamuzi 14 : 9 Judges chapter 14 verse 9

Swahili English Translation

Waamuzi 14:9

Akatwaa asali mikononi mwake akaenda mbele, huku akila alipokuwa akienenda, akawafikilia babaye na mamaye, akawapa, nao wakala; lakini hakuwaambia ya kuwa ameitwaa hiyo asali katika mzoga wa simba.
soma Mlango wa 14

Judges 14:9

He took it into his hands, and went on, eating as he went; and he came to his father and mother, and gave to them, and they ate: but he didn't tell them that he had taken the honey out of the body of the lion.