Waamuzi 16 : 10 Judges chapter 16 verse 10

Swahili English Translation

Waamuzi 16:10

Delila akamwambia Samsoni, Tazama, umenidhihaki, na kuniambia uongo; sasa tafadhali, niambie, waweza kufungwa kwa kitu gani?
soma Mlango wa 16

Judges 16:10

Delilah said to Samson, Behold, you have mocked me, and told me lies: now tell me, Please, with which you might be bound.