Mambo ya Walawi 10 : 13 Leviticus chapter 10 verse 13

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 10:13

nanyi mtaila katika mahali patakatifu, kwa sababu ni haki yako, na haki ya wanao, katika hizo kafara zisongezwazo kwa Bwana kwa moto; kwani ni hivyo nilivyoagizwa.
soma Mlango wa 10

Leviticus 10:13

and you shall eat it in a holy place, because it is your portion, and your sons' portion, of the offerings of Yahweh made by fire: for so I am commanded.