Mambo ya Walawi 10 : 16 Leviticus chapter 10 verse 16
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 10:16
Kisha Musa akamtafuta sana huyo mbuzi wa sadaka ya dhambi, naye, tazama, alikuwa amekwisha kuchomwa moto; naye akawakasirikia hao Eleazari na Ithamari, wana wa Haruni, hao waliobaki, akawaambia,
|
Leviticus 10:16Moses diligently inquired about the goat of the sin offering, and, behold, it was burned: and he was angry with Eleazar and with Ithamar, the sons of Aaron who were left, saying, |