Mambo ya Walawi 12 : 5 Leviticus chapter 12 verse 5

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 12:5

Lakini kwamba amezaa mtoto mke ndipo atakuwa najisi juma mbili, kama katika kutengwa kwake; naye atakaa katika damu ya kutakata kwake muda wa siku sitini na sita.
soma Mlango wa 12

Leviticus 12:5

But if she bears a female child, then she shall be unclean two weeks, as in her period; and she shall continue in the blood of purification sixty-six days.