Mambo ya Walawi 14 : 12 Leviticus chapter 14 verse 12

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 14:12

kisha kuhani atamshika mmoja katika hao wana-kondoo waume, na kumsongeza awe sadaka ya hatia, pamoja na hiyo logi ya mafuta, kisha atavitikisa kuwa ni sadaka ya kutikiswa mbele za Bwana;
soma Mlango wa 14

Leviticus 14:12

"The priest shall take one of the male lambs, and offer him for a trespass offering, with the log of oil, and wave them for a wave offering before Yahweh.