Mambo ya Walawi 14 : 22 Leviticus chapter 14 verse 22
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 14:22
na hua wawili, au makinda mawili ya njiwa, kama awezavyo kuwapata; huyo mmoja atakuwa sadaka ya dhambi, na wa pili atakuwa sadaka ya kuteketezwa.
|
Leviticus 14:22and two turtledoves, or two young pigeons, such as he is able to afford; and the one shall be a sin offering, and the other a burnt offering. |