Mambo ya Walawi 14 : 48 Leviticus chapter 14 verse 48

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 14:48

Tena kwamba kuhani akiingia ndani na kuangalia, na tazama, ikiwa pigo halikuenea katika hiyo nyumba, baada ya nyumba kupakwa chokaa; ndipo kuhani atasema kwamba hiyo nyumba i safi, maana, pigo limepoa.
soma Mlango wa 14

Leviticus 14:48

"If the priest shall come in, and examine it, and, behold, the plague hasn't spread in the house, after the house was plastered, then the priest shall pronounce the house clean, because the plague is healed.