Mambo ya Walawi 14 : 6 Leviticus chapter 14 verse 6

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 14:6

kisha huyo ndege aliye hai atamshika, na huo mti wa mwerezi, na hiyo sufu nyekundu, na hisopo, naye atavichovya hivyo, pamoja na yule ndege aliye hai, katika damu ya huyo ndege aliyechinjwa juu ya maji ya mtoni;
soma Mlango wa 14

Leviticus 14:6

As for the living bird, he shall take it, and the cedar wood, and the scarlet, and the hyssop, and shall dip them and the living bird in the blood of the bird that was killed over the running water.