Mambo ya Walawi 14 : 8 Leviticus chapter 14 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Mambo ya Walawi 14:8
Naye huyo atakayetakaswa atazifua nguo zake, na kunyoa nywele zake zote, na kuoga katika maji, naye atakuwa safi; baada ya hayo ataingia ndani ya marago, lakini ataketi nje ya hema yake muda wa siku saba.
|
Leviticus 14:8"He who is to be cleansed shall wash his clothes, and shave off all his hair, and bathe himself in water; and he shall be clean. After that he shall come into the camp, but shall dwell outside his tent seven days. |