Mambo ya Walawi 14 : 8 Leviticus chapter 14 verse 8

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 14:8

Naye huyo atakayetakaswa atazifua nguo zake, na kunyoa nywele zake zote, na kuoga katika maji, naye atakuwa safi; baada ya hayo ataingia ndani ya marago, lakini ataketi nje ya hema yake muda wa siku saba.
soma Mlango wa 14

Leviticus 14:8

"He who is to be cleansed shall wash his clothes, and shave off all his hair, and bathe himself in water; and he shall be clean. After that he shall come into the camp, but shall dwell outside his tent seven days.