Mambo ya Walawi 2 : 2 Leviticus chapter 2 verse 2

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 2:2

kisha atauleta kwa wana wa Haruni, hao makuhani; naye atatwaa konzi moja katika huo unga mwembamba, na katika mafuta yake, na huo ubani wote; kisha kuhani atauteketeza kuwa ndio ukumbusho wake juu ya madhabahu, ni kafara ya kusongezwa kwa njia ya moto, ya harufu ya kupendeza kwa Bwana;
soma Mlango wa 2

Leviticus 2:2

He shall bring it to Aaron's sons the priests; and he shall take his handful of its fine flour, and of its oil, with all its frankincense; and the priest shall burn the memorial of it on the altar, an offering made by fire, of a sweet savor to Yahweh.