Mambo ya Walawi 25 : 28 Leviticus chapter 25 verse 28

Swahili English Translation

Mambo ya Walawi 25:28

Lakini asipoweza kujipatia mwenyewe, ndipo hiyo iliyouzwa itakaa mkononi mwake huyo aliyeinunua, hata mwaka wa yubile; na katika yubile itatoka, naye atairejea milki yake.
soma Mlango wa 25

Leviticus 25:28

But if he isn't able to get it back for himself, then what he has sold shall remain in the hand of him who has bought it until the Year of Jubilee: and in the Jubilee it shall be released, and he shall return to his propery.