Mika 2 : 12 Micah chapter 2 verse 12
Swahili | English Translation |
---|---|
Mika 2:12
Hakika nitakukusanya, Ee Yakobo, nyote pia; Bila shaka nitawakusanya waliobaki wa Israeli; Nitawaweka pamoja kama kondoo wa Bozra; Kama kundi la kondoo kati ya malisho yao; Watafanya mvumo kwa wingi wa watu;
|
Micah 2:12I will surely assemble, Jacob, all of you; I will surely gather the remnant of Israel; I will put them together as the sheep of Bozrah, As a flock in the midst of their pasture; They will swarm with people. |