Nehemia 12 : 44 Nehemiah chapter 12 verse 44

Swahili English Translation

Nehemia 12:44

Na siku hiyo watu wakaagizwa juu ya vyumba vya hazina, kwa sadaka za kuinuliwa, na kwa malimbuko, na kwa zaka, ili kuzikusanya, kwa kadiri ya mashamba ya miji, sehemu zilizoamriwa katika torati za makuhani, na Walawi; kwa maana Yuda waliwafurahia makuhani na Walawi waliotumika.
soma Mlango wa 12

Nehemiah 12:44

On that day were men appointed over the chambers for the treasures, for the heave-offerings, for the first fruits, and for the tithes, to gather into them, according to the fields of the cities, the portions appointed by the law for the priests and Levites: for Judah rejoiced for the priests and for the Levites who waited.