Nehemia 3 : 8 Nehemiah chapter 3 verse 8

Swahili English Translation

Nehemia 3:8

Na baada yao akafanyiza Uzieli, mwana wa Harhaya, mmoja wa mafundi wa dhahabu. Na baada yake akafanyiza Hanania, mmoja wa mafundi wa manukato, nao wakaujengea Yerusalemu buruji mpaka ule ukuta mpana.
soma Mlango wa 3

Nehemiah 3:8

Next to him repaired Uzziel the son of Harhaiah, goldsmiths. Next to him repaired Hananiah one of the perfumers, and they fortified Jerusalem even to the broad wall.