Nehemia 3 : 8 Nehemiah chapter 3 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
Nehemia 3:8
Na baada yao akafanyiza Uzieli, mwana wa Harhaya, mmoja wa mafundi wa dhahabu. Na baada yake akafanyiza Hanania, mmoja wa mafundi wa manukato, nao wakaujengea Yerusalemu buruji mpaka ule ukuta mpana.
|
Nehemiah 3:8Next to him repaired Uzziel the son of Harhaiah, goldsmiths. Next to him repaired Hananiah one of the perfumers, and they fortified Jerusalem even to the broad wall. |