Hesabu 18 : 11 Numbers chapter 18 verse 11

Swahili English Translation

Hesabu 18:11

Tena kitu hiki ni chako; ile sadaka ya kuinuliwa ya kipawa chao, maana, sadaka za kutikiswa zote za wana wa Israeli; hizi nimekupa wewe, na wanao na binti zako pamoja nawe, ni haki yenu milele; kila mtu katika nyumba yako aliye safi atakula katika hizo.
soma Mlango wa 18

Numbers 18:11

This is your: the heave-offering of their gift, even all the wave-offerings of the children of Israel; I have given them to you, and to your sons and to your daughters with you, as a portion forever; everyone who is clean in your house shall eat of it.