Hesabu 18 : 26 Numbers chapter 18 verse 26

Swahili English Translation

Hesabu 18:26

Tena utanena na Walawi, na kuwaambia, Hapo mtakapoitwaa zaka mkononi mwa wana wa Israeli niliyowapa ninyi kutoka kwao kuwa urithi wenu, ndipo mtakaposongeza sadaka ya kuinuliwa kwa Bwana katika hiyo, iwe zaka katika hiyo zaka.
soma Mlango wa 18

Numbers 18:26

Moreover you shall speak to the Levites, and tell them, When you take of the children of Israel the tithe which I have given you from them for your inheritance, then you shall offer up a heave-offering of it for Yahweh, a tithe of the tithe.