Willy Paul - Kitanzi Lyrics

Contents: Song Information
  • Song Title: Kitanzi (feat. Gloria Muliro)
  • Album: Kitanzi (You Never Know)
  • Artist: Willy Paul
  • Released On: 24 Mar 2014
  • Download/Stream: iTunes Music Amazon Music
Willy Paul Kitanzi

Kitanzi Lyrics

Ooooh Willy, Willy, Willy Paul Tena,
Na Gloria, Na Gloria,
Mama, Mama, Mama, Mama, aaaah {×3}
Msaidizi Mama,
Mama, Mama, Mama,

Jolly We Mjolly, Tatizo kubwa ninalo mimi,
Jolly we mjolly, tatizo kubwa ninalo mimi,
(Ninalo mimi)
Tatizo gani hilo, yeye asiloliweza?
Tatizo gani hilo, yeye asiloliweza?
Naomba niskize, eh, Nipe sikio,

Najitia kitanzi, najitia kitanzi,
Nimechoshwa sana, ah, ah,
Haina haja kitanzi, haina haja kulia,
Haina haja kufa moyo, maulana bado anakupenda,

Oooh bila huruma, msela nateseka na, si utani,
Oooh kudharauliwa, kudhulumiwa wanaojiweza,
Oooh nifanye vipi mama?, (ooh nifanye vipi?)
Hivi niende wapi mama?, (ooh niende wapi?)
Why, why, why, why, why,
Why, why, why, why, why,
Hebu sikiliza mwana, nikwambie,
Mkamilifu hayuko, ila mwamba,
Tena yeye anafahamu vyema alivyokuumba,
Usiogope, rudi mwana atakupokea,
Laiti, ungalijua, jinsi anavyokupenda, ah,
Laiti ungalijua, yalivyo mengi aliyokuandalia ah,

Hivi willy nina shaka,
Shaka ya nini tena?,
Nahisi nimemkosea baba,
Ni wa huruma wewe njoo,
Kwa nini mama?
Atakurekebisha,
Je, atanikubali?,
Atanikubali?, Nafsi yangu,
Natamani Willy, kurudi kwake jalali,
Kurudi kwake jalali,
Lakini mami mi naogopa,
Wataniwia radhi,


Kitanzi Video

Willy Paul Songs

Related Songs