Anatupenda
Anatupenda
Anatupenda
Ii ii
Ii ii
ii ii
maisha ya mwanadamu
kuishi kwake huwa mara moja
yakishapita huwezi kuyarudi
Bwana twaishi
twaishi kwa nguvu za mungu pia
uwezo wake
tumkumbuke mungu siku za uhai wetu
kama unataka miujiza
ni huu hapa sasa
kwa wewe kuamka
Je ni wanagpi wamelala
na wameshinda kuamka
kwani wewe ni nani?
Au unafikiri uzuri wako
umekufanya uwe hai
au ni daktari wako
Hey si kwa nguvu zangu mimi
wala nguvu zako wewe
ila nguvu zake mungu
Ndio maana tuko hai
anazidi kutulinda
ameonekana kwetu
(Nifundishe)
Nifundishe kukutegemea
kwa hali zote ninazopitia
(hata kwa magumu yetu)
wewe ndio kimbilio langu
(kwa magumu baba)
wewe ndio ngome yangu
(hallelluya)
hallelluya
(Nifundishe)
Nifundishe kukutegemea
kwa hali zote ninazopitia
(hata kwa magumu yetu)
wewe ndio kimbilio langu
(kwa magumu baba)
wewe ndio ngome yangu
(hallelluya)
hallelluya
wanijua baba
ee wanijua baba
wanijua mungu
Alisema kisa liwe nalo likawa
Kwa fimbo Musa bahari likagawa
kwa nuru aliwaacha mdomo wazi
mtu wa nne alitoka wapi
kwa kuguza pinde
yule mwanamke akapona aa
Bartimayo naye kapona kwa mate na tope
haaanza jana na wala haishi leo
ni mungu wa Yakobo,Daudi milele Amina
Ebu fikiria imani yako hivyo ndugu
na matendo yako madogo
anakulinda bado
Ni dhahiri kuwa mungu wetu huyu
anatupenda
anatupenda
Hallelluya
anatupenda
anakupenda ulivyo
anatupenda
ulivyo wewe
anatupenda
mungu wangu
anatupenda
(Nifundishe)
Nifundishe kukutegemea
kwa hali zote ninazopitia
(hata kwa magumu yetu)
wewe ndio kimbilio langu
(kwa magumu baba)
wewe ndio ngome yangu
(hallelluya)
hallelluya
(Nifundishe)
Nifundishe kukutegemea
kwa hali zote ninazopitia
(hata kwa magumu yetu)
wewe ndio kimbilio langu
(kwa magumu baba)
wewe ndio ngome yangu
(hallelluya)
hallelluya
anatupenda
anatupenda
anatupenda
anakupenda ulivyo
anatupenda
ulivyo wewe
anatupenda
nikiwa kwa amani ninaimba
Hallelluya
Hallelluya
Hallelluya
Hata kwenye dhiki naimba
Hallelluya
Hallelluya
Hallelluya
nikiwa kwa amani ninaimba
usifiwe eeee