1 Wafalme 4 : 31 1st Kings chapter 4 verse 31

Swahili English Translation

1 Wafalme 4:31

Kwa kuwa alikuwa na hekima kuliko watu wote; kuliko Ethani Mwezrahi, na Hemani, na Kalkoli, na Darda, wana wa Maholi; zikaenea sifa zake kati ya mataifa yote yaliyozunguka.
soma Mlango wa 4

1st Kings 4:31

For he was wiser than all men; than Ethan the Ezrahite, and Heman, and Calcol, and Darda, the sons of Mahol: and his fame was in all the nations round about.