2 Mambo ya Nyakati 10 : 11 2nd Chronicles chapter 10 verse 11

Swahili English Translation

2 Mambo ya Nyakati 10:11

Basi kama baba yangu aliwatwika kongwa zito, mimi nitaongeza kongwa lenu; baba yangu akiwapiga kwa mijeledi, lakini mimi nitawapiga kwa nge.
soma Mlango wa 10

2nd Chronicles 10:11

Now whereas my father did lade you with a heavy yoke, I will add to your yoke: my father chastised you with whips, but I [will chastise you] with scorpions.