2 Wakorintho 1 : 6 2nd Corinthians chapter 1 verse 6

Swahili English Translation

2 Wakorintho 1:6

Lakini ikiwa sisi tu katika dhiki, ni kwa ajili ya faraja yenu na wokovu wenu; au ikiwa twafarijiwa, ni kwa ajili ya faraja yenu; ambayo hutenda kazi yake kwa kustahimili mateso yale yale tuteswayo na sisi.
soma Mlango wa 1

2nd Corinthians 1:6

But if we are afflicted, it is for your comfort and salvation. If we are comforted, it is for your comfort, which produces in you the patient enduring of the same sufferings which we also suffer.