2 Wakorintho 6 : 14 2nd Corinthians chapter 6 verse 14

Swahili English Translation

2 Wakorintho 6:14

Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
soma Mlango wa 6

2nd Corinthians 6:14

Don't be unequally yoked with unbelievers, for what fellowship have righteousness and iniquity? Or what communion has light with darkness?