2 Wakorintho 6 : 14 2nd Corinthians chapter 6 verse 14
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Wakorintho 6:14
Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza?
|
2nd Corinthians 6:14Don't be unequally yoked with unbelievers, for what fellowship have righteousness and iniquity? Or what communion has light with darkness? |