2 Samweli 11 : 13 2nd Samuel chapter 11 verse 13

Swahili English Translation

2 Samweli 11:13

Naye Daudi akamwalika, akala, akanywa mbele yake; naye akamlevya; hata wakati wa jioni akatoka kwenda kulala kitandani mwake pamoja na watumishi wa bwana wake, lakini hakushuka nyumbani kwake.
soma Mlango wa 11

2nd Samuel 11:13

When David had called him, he ate and drink before him; and he made him drunk: and at even he went out to lie on his bed with the servants of his lord, but didn't go down to his house.