2 Samweli 17 : 10 2nd Samuel chapter 17 verse 10
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 17:10
Basi hata yeye aliye shujaa, mwenye moyo kama moyo wa simba, atayeyuka kabisa; maana Israeli wote wanajua ya kuwa baba yako ni shujaa, na ya kuwa watu wale walio pamoja naye ni mashujaa.
|
2nd Samuel 17:10Even he who is valiant, whose heart is as the heart of a lion, will utterly melt; for all Israel knows that your father is a mighty man, and those who are with him are valiant men. |