2 Samweli 17 : 12 2nd Samuel chapter 17 verse 12

Swahili English Translation

2 Samweli 17:12

Hivyo tutamfikia mahali po pote atakapoonekana, na kumwangukia kama vile umande uangukavyo juu ya nchi; wala hatutaacha hata mmoja wao, yeye na watu wote walio pamoja naye.
soma Mlango wa 17

2nd Samuel 17:12

So shall we come on him in some place where he shall be found, and we will light on him as the dew falls on the ground; and of him and of all the men who are with him we will not leave so much as one.