2 Samweli 17 : 17 2nd Samuel chapter 17 verse 17

Swahili English Translation

2 Samweli 17:17

Basi Yonathani na Ahimaasi walikuwa wakikaa karibu na Enrogeli; na mjakazi mmoja alikuwa akienda na kuwapa habari; nao huenda kumwambia mfalme Daudi; maana ilikuwa lazima wasionekane wakiingia mjini.
soma Mlango wa 17

2nd Samuel 17:17

Now Jonathan and Ahimaaz were staying by En Rogel; and a maid-servant used to go and tell them; and they went and told king David: for they might not be seen to come into the city.