2 Samweli 17 : 8 2nd Samuel chapter 17 verse 8
Swahili | English Translation |
---|---|
2 Samweli 17:8
Hushai akafuliza kusema, Wamjua baba yako na watu wake, ya kuwa ni watu mashujaa hawa, nao wana uchungu katika mioyo yao, kama dubu aliyenyang'anywa watoto wake nyikani; tena baba yako ni mtu wa vita, hatalala pamoja na watu wake.
|
2nd Samuel 17:8Hushai said moreover, You know your father and his men, that they are mighty men, and they are fierce in their minds, as a bear robbed of her cubs in the field; and your father is a man of war, and will not lodge with the people. |