2 Samweli 24 : 10 2nd Samuel chapter 24 verse 10

Swahili English Translation

2 Samweli 24:10

Ndipo moyo wake Daudi ukamchoma baada ya kuwahesabu hao watu. Naye Daudi akamwambia Bwana, Nimekosa sana kwa haya niliyoyafanya; lakini sasa, Ee Bwana, nakusihi uuondolee mbali uovu wa mtumishi wako; kwani nimefanya upumbavu kabisa.
soma Mlango wa 24

2nd Samuel 24:10

David's heart struck him after that he had numbered the people. David said to Yahweh, I have sinned greatly in that which I have done: but now, Yahweh, put away, I beg you, the iniquity of your servant; for I have done very foolishly.