2 Samweli 24 : 14 2nd Samuel chapter 24 verse 14

Swahili English Translation

2 Samweli 24:14

Naye Daudi akamwambia Gadi, Nimeingia katika mashaka sana; basi sasa na tuanguke katika mkono wa Bwana; kwa kuwa rehema zake ni nyingi; wala nisianguke katika mkono wa wanadamu.
soma Mlango wa 24

2nd Samuel 24:14

David said to Gad, I am in a great strait: let us fall now into the hand of Yahweh; for his mercies are great; and let me not fall into the hand of man.