2 Samweli 24 : 16 2nd Samuel chapter 24 verse 16

Swahili English Translation

2 Samweli 24:16

Lakini huyo malaika aliponyosha mkono wake kuelekea Yerusalemu ili auharibu, Bwana akaghairi katika mabaya, akamwambia huyo malaika mwenye kuwaharibu watu, Yatosha, sasa ulegeze mkono wako. Naye yule malaika wa Bwana alikuwako karibu na kiwanja cha kupuria cha Arauna, Myebusi.
soma Mlango wa 24

2nd Samuel 24:16

When the angel stretched out his hand toward Jerusalem to destroy it, Yahweh repented him of the evil, and said to the angel who destroyed the people, It is enough; now stay your hand. The angel of Yahweh was by the threshing floor of Araunah the Jebusite.