2 Samweli 24 : 21 2nd Samuel chapter 24 verse 21

Swahili English Translation

2 Samweli 24:21

Arauna akasema, Bwana wangu mfalme amemjia mtumwa wake kwa kusudi gani? Naye Daudi akasema, Makusudi ninunue kwako kiwanja hiki, ili nimjengee Bwana madhabahu, ili kwamba tauni ipate kuzuiliwa katika watu.
soma Mlango wa 24

2nd Samuel 24:21

Araunah said, Why is my lord the king come to his servant? David said, To buy the threshing floor of you, to build an altar to Yahweh, that the plague may be stayed from the people.