2 Samweli 5 : 8 2nd Samuel chapter 5 verse 8

Swahili English Translation

2 Samweli 5:8

Naye Daudi alisema siku hiyo, Yeye atakayewapiga Wayebusi, na apande kwenye mfereji wa maji, na kuwapiga viwete, na hao vipofu, ambao roho yake Daudi inawachukia. Kwa sababu hii watu husema, Wako vipofu na viwete hawawezi kuingia nyumbani.
soma Mlango wa 5

2nd Samuel 5:8

David said on that day, Whoever strikes the Jebusites, let him get up to the watercourse, and [strike] the lame and the blind, who are hated of David's soul. Therefore they say, There are the blind and the lame; he can't come into the house.