Kumbukumbu la Torati 3 : 11 Deuteronomy chapter 3 verse 11
Swahili | English Translation |
---|---|
Kumbukumbu la Torati 3:11
(Kwani aliyesalia katika mabaki ya Warefai ni Ogu pekee, mfalme wa Bashani; tazama, kitanda chake kilikuwa kitanda cha chuma; kitanda hicho je! Hakiko Raba kwa wana wa Amoni? Urefu wake ulikuwa ni mikono kenda,na upana wake mikono minne,kwa mfano wa mkono wa mtu)
|
Deuteronomy 3:11(For only Og king of Bashan remained of the remnant of the Rephaim; behold, his bedstead was a bedstead of iron; isn't it in Rabbah of the children of Ammon? nine cubits was the length of it, and four cubits the breadth of it, after the cubit of a man.) |