Kumbukumbu la Torati 3 : 12 Deuteronomy chapter 3 verse 12

Swahili English Translation

Kumbukumbu la Torati 3:12

Na nchi hiyo tuliitwaa ikawa milki yetu, wakati huo; tokea Aroeri iliyo kwenye bonde la Arnoni, na nusu ya nchi ya milima ya Gileadi, na miji iliyokuwamo, niliwapa Wareubeni na Wagadi;
soma Mlango wa 3

Deuteronomy 3:12

This land we took in possession at that time: from Aroer, which is by the valley of the Arnon, and half the hill-country of Gilead, and the cities of it, gave I to the Reubenites and to the Gadites: