Kutoka 11 : 8 Exodus chapter 11 verse 8

Swahili English Translation

Kutoka 11:8

Tena hao watumishi wako wote watanitelemkia kwangu mimi, nao watanisujudia, wakisema, Toka wewe, na hawa watu wote wakufuatao; na baada ya hayo nitatoka. Basi akatoka kwa Farao na hasira kuu.
soma Mlango wa 11

Exodus 11:8

All these your servants shall come down to me, and bow down themselves to me, saying, 'Get out, and all the people who follow you; and after that I will go out.'" He went out from Pharaoh in hot anger.