Kutoka 28 : 11 Exodus chapter 28 verse 11

Swahili English Translation

Kutoka 28:11

Kwa kazi mtu mwenye kuchora mawe kama vile muhuri ichorwavyo, utavichora hivi vito viwili, sawasawa na majina ya wana wa Israeli, nawe utavitia katika vijalizo vya dhahabu.
soma Mlango wa 28

Exodus 28:11

With the work of an engraver in stone, like the engravings of a signet, shall you engrave the two stones, according to the names of the children of Israel: you shall make them to be enclosed in settings of gold.