Ezra 2 : 69 Ezra chapter 2 verse 69

Swahili English Translation

Ezra 2:69

wakatoa kadiri walivyoweza, na kutia katika hazina ya kazi hiyo, darkoni za dhahabu sitini na moja elfu ,na nane za fedha elfu tano,na mavazi mia ya makuhani.
soma Mlango wa 2

Ezra 2:69

they gave after their ability into the treasury of the work sixty-one thousand darics of gold, and five thousand minas of silver, and one hundred priests' garments.