Isaya 9 : 17 Isaiah chapter 9 verse 17

Swahili English Translation

Isaya 9:17

Kwa sababu hiyo Bwana hatawafurahia vijana wao, wala hatawahurumia yatima zao wala wajane wao; maana kila mtu ni mnajisi, dhalimu, na kila ulimi hunena upumbavu. Pamoja na hayo yote hasira yake haikugeukia mbali, lakini mkono wake umenyoshwa hata sasa.
soma Mlango wa 9

Isaiah 9:17

Therefore the Lord will not rejoice over their young men, neither will he have compassion on their fatherless and widows; for everyone is profane and an evil-doer, and every mouth speaks folly. For all this his anger is not turned away, but his hand is stretched out still.