Mathayo 11 : 19 Matthew chapter 11 verse 19
Swahili | English Translation |
---|---|
Mathayo 11:19
Mwana wa Adamu alikuja, akila na kunywa, wakasema, Mlafi huyu, na mlevi, rafiki yao watoza ushuru na wenye dhambi! Na hekima imejulikana kuwa ina haki kwa kazi zake.
|
Matthew 11:19The Son of Man came eating and drinking, and they say, 'Behold, a gluttonous man and a drunkard, a friend of tax collectors and sinners!' But wisdom is justified by her children." |