1 Mambo ya Nyakati 8 Swahili & English

Listen/Download Audio
1 Mambo ya Nyakati 8 (Swahili) 1st Chronicles 8 (English)

Naye Benyamini akamzaa Bela, mzaliwa wake wa kwanza, na wa pili Ashbeli, na wa tatu Ahiramu; 1 Mambo ya Nyakati 8:1

Benjamin became the father of Bela his firstborn, Ashbel the second, and Aharah the third,

na wa nne Noha, na wa tano Rafa. 1 Mambo ya Nyakati 8:2

Nohah the fourth, and Rapha the fifth.

Na Bela alikuwa na wana; Adari, na Gera, na Abihudi; 1 Mambo ya Nyakati 8:3

Bela had sons: Addar, and Gera, and Abihud,

na Abishua, na Naamani, na Ahoa; 1 Mambo ya Nyakati 8:4

and Abishua, and Naaman, and Ahoah,

na Gera, na Shufamu, na Huramu. 1 Mambo ya Nyakati 8:5

and Gera, and Shephuphan, and Huram.

Na hawa ndio wana wa Ehudi. (Hao ndio wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Geba; nao wakawachukua mateka mpaka Manahathi; 1 Mambo ya Nyakati 8:6

These are the sons of Ehud: these are the heads of fathers' [houses] of the inhabitants of Geba, and they carried them captive to Manahath:

na Naamani, na Ahoa, na Gera; aliwachukua mateka). Naye akamzaa Uza, na Ahihudi. 1 Mambo ya Nyakati 8:7

and Naaman, and Ahijah, and Gera, he carried them captive: and he became the father of Uzza and Ahihud.

Na Shaharaimu akazaa watoto katika Bara-Moabu, baada ya kuwafukuza wakeze Hushimu na Baara. 1 Mambo ya Nyakati 8:8

Shaharaim became the father of children in the field of Moab, after he had sent them away; Hushim and Baara were his wives.

Akazaliwa na Hodeshi, mkewe; Yobabu, na Sibia, na Mesha, na Malkamu; 1 Mambo ya Nyakati 8:9

He became the father of Hodesh his wife, Jobab, and Zibia, and Mesha, and Malcam,

na Yeusi, na Shakia, na Mirma. Hao ndio wanawe, wakuu wa mbari za baba zao. 1 Mambo ya Nyakati 8:10

and Jeuz, and Shachia, and Mirmah. These were his sons, heads of fathers' [houses].

Naye alikuwa amezaliwa na Hushimu, Abitubu, na Elpaali. 1 Mambo ya Nyakati 8:11

Of Hushim he became the father of Abitub and Elpaal.

Na wana wa Elpaali; Eberi, na Mishamu, na Shemedi, ambaye ndiye aliyejenga Ono na Lodi, pamoja na vijiji vyake; 1 Mambo ya Nyakati 8:12

The sons of Elpaal: Eber, and Misham, and Shemed, who built Ono and Lod, with the towns of it;

na Beria, na Shema, waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao miongoni mwa wenyeji wa Aiyaloni, wale ambao waliwakimbiza wenyeji wa Gathi. 1 Mambo ya Nyakati 8:13

and Beriah, and Shema, who were heads of fathers' [houses] of the inhabitants of Aijalon, who put to flight the inhabitants of Gath;

Na Ahio, na Ghashaki, na Yeremothi; 1 Mambo ya Nyakati 8:14

and Ahio, Shashak, and Jeremoth,

na Zebadia, na Aradi, na Ederi; 1 Mambo ya Nyakati 8:15

and Zebadiah, and Arad, and Eder,

na Mikaeli, na Ishpa, na Yoha; walikuwa wana wa Beria. 1 Mambo ya Nyakati 8:16

and Michael, and Ishpah, and Joha, the sons of Beriah,

Na Zebadia, na Meshulamu, na Hizki, na Heberi; 1 Mambo ya Nyakati 8:17

and Zebadiah, and Meshullam, and Hizki, and Heber,

na Ishmerai, na Izlia, na Yobabu; walikuwa wana wa Elpaali. 1 Mambo ya Nyakati 8:18

and Ishmerai, and Izliah, and Jobab, the sons of Elpaal,

Na Yakimu, na Zikri, na Zabdi; 1 Mambo ya Nyakati 8:19

and Jakim, and Zichri, and Zabdi,

na Elienai, na Silethai, na Elieli; 1 Mambo ya Nyakati 8:20

and Elienai, and Zillethai, and Eliel,

na Adaya, na Beraya, na Shimrathi; walikuwa wana wa Shema. 1 Mambo ya Nyakati 8:21

and Adaiah, and Beraiah, and Shimrath, the sons of Shimei,

Na Ishpani, na Eberi, na Elieli; 1 Mambo ya Nyakati 8:22

and Ishpan, and Eber, and Eliel,

na Abdoni, na Zikri, na Hanani; 1 Mambo ya Nyakati 8:23

and Abdon, and Zichri, and Hanan,

na Hanania, na Elamu, na Anthothiya; 1 Mambo ya Nyakati 8:24

and Hananiah, and Elam, and Anthothijah,

na Ifdeya, na Penueli; walikuwa wana wa Shashaki. 1 Mambo ya Nyakati 8:25

and Iphdeiah, and Penuel, the sons of Shashak,

Na Shamsherai, na Sheharia, na Athalia; 1 Mambo ya Nyakati 8:26

and Shamsherai, and Shehariah, and Athaliah,

na Yaareshia, na Eliya, na Zikri; walikuwa wana wa Yerohamu. 1 Mambo ya Nyakati 8:27

and Jaareshiah, and Elijah, and Zichri, the sons of Jeroham.

Hao ndio waliokuwa wakuu wa mbari za baba zao, katika vizazi vyao vyote, watu maarufu; na hao walikuwa wakikaa Yerusalemu. 1 Mambo ya Nyakati 8:28

These were heads of fathers' [houses] throughout their generations, chief men: these lived in Jerusalem.

Basi huko Gibea alikaa babaye Gibea, jina lake Yeieli, ambaye jina la mkewe aliitwa Maaka; 1 Mambo ya Nyakati 8:29

In Gibeon there lived the father of Gibeon, [Jeiel], whose wife's name was Maacah;

na mwanawe, mzaliwa wake wa kwanza, alikuwa Abdoni, na Suri, na Kishi, na Baali, na Nadabu; 1 Mambo ya Nyakati 8:30

and his firstborn son Abdon, and Zur, and Kish, and Baal, and Nadab,

na Gedori, na Ahio, na Zekaria 1 Mambo ya Nyakati 8:31

and Gedor, and Ahio, and Zecher.

Na Miklothi akamzaa Shimea. Na hao nao walikuwa wakikaa pamoja na ndugu zao huko Yerusalemu, kuwakabili ndugu zao. 1 Mambo ya Nyakati 8:32

Mikloth became the father of Shimeah. They also lived with their brothers in Jerusalem, over against their brothers.

Naye Neri akamzaa Kishi; na Kishi akamzaa Sauli; na Sauli akamzaa Yonathani, na Malkishua, na Abinadabu, na Eshbaali. 1 Mambo ya Nyakati 8:33

Ner became the father of Kish; and Kish became the father of Saul; and Saul became the father of Jonathan, and Malchishua, and Abinadab, and Eshbaal.

Na mwanawe Yonathani alikuwa Meribaali; na Meribaali akamzaa Mika. 1 Mambo ya Nyakati 8:34

The son of Jonathan was Merib Baal; and Merib Baal became the father of Micah.

Na wana wa Mika; Pithoni, na Meleki, na Tarea, na Ahazi. 1 Mambo ya Nyakati 8:35

The sons of Micah: Pithon, and Melech, and Tarea, and Ahaz.

Na Ahazi akamzaa Yara; na Yara akamzaa Alemethi, na Azmawethi, na Zimri; na Zimri akamzaa Mosa; 1 Mambo ya Nyakati 8:36

Ahaz became the father of Jehoaddah; and Jehoaddah became the father of Alemeth, and Azmaveth, and Zimri; and Zimri became the father of Moza.

na Mosa akamzaa Binea; na mwanawe huyo alikuwa Refaya, na mwanawe huyo ni Ekasa, na mwanawe huyo ni Aseli; 1 Mambo ya Nyakati 8:37

Moza became the father of Binea; Raphah was his son, Eleasah his son, Azel his son.

naye Aseli alikuwa na wana sita, ambao majina yao ni haya; Azrikamu, na Bokeru, na Ishmaeli, na Shearia, na Obadia, na Hanani. Hao wote walikuwa wana wa Aseli. 1 Mambo ya Nyakati 8:38

Azel had six sons, whose names are these: Azrikam, Bocheru, and Ishmael, and Sheariah, and Obadiah, and Hanan. All these were the sons of Azel.

Na wana wa Esheki nduguye ni hawa; mzaliwa wake wa kwanza, Ulamu, na wa pili Yeushi, na wa tatu Elifeleti. 1 Mambo ya Nyakati 8:39

The sons of Eshek his brother: Ulam his firstborn, Jeush the second, and Eliphelet the third.

Na wana wa Ulamu walikuwa watu hodari wa vita, wapiga upinde, nao walikuwa na wana wengi, na wana wa wana, watu mia na hamsini. Hao wote ndio waliokuwa wana wa Benyamini.

1 Mambo ya Nyakati 8:40

The sons of Ulam were mighty men of valor, archers, and had many sons, and sons' sons, one hundred fifty. All these were of the sons of Benjamin.